Ingia / Jisajili

Flaviano M.Kapinye

Mfahamu Flaviano M.Kapinye, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Dodoma Parokia ya Parokia ya Mtakatifu Anton wa Padua Kibaigwa

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 3 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Dodoma

Parokia anayofanya utume: Parokia ya Mtakatifu Anton wa Padua Kibaigwa

Namba ya simu: 0627062013

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

Mwalimu Flaviano ni mwalimu anayepatikana Parokia ya Mt.Anton wa padua na kwaya yake ni Mt.anton wa padua katika kwaya yake yeye ni muimbaji wa sauti ya tatu na ya nne na ni conducor pia ni mwalimu mtunzi karibu tuungane kushirikiana kimsifu Mungu