Ingia / Jisajili

Erick Barnabas

Mfahamu Erick Barnabas, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki. Kutoka Jimbo la Shinyanga Parokia ya Gula

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 4 > Zitazame

Jimbo analofanya utume: Shinyanga

Parokia anayofanya utume: Gula

Namba ya simu: 0625212069

Soma Historia na maelezo yake hapa

Wasiliana na mtunzi kwa email:


Historia / Maelezo

Erick barnabas,ni mhitimu wa chuo cha sanaa na utamaduni bagamoyo-TaSUBa kwa kozi ya sanaa za maonesho na ufundi wa majukwaa ikiwemo sanaa ya muziki.. Amezaliwa parokia ya Gula jimbo la Shinyanga na kwa sasa yupo parokia ya Epifania~Tokeo la Bwana -Bagamoyo Jimbo la Morogoro.