Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu

Mtunzi: John Mgandu
> Tazama Nyimbo nyingine za John Mgandu

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 29,983 | Umetazamwa mara 47,853

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana ndiye mchungaji wangu, Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa, sitapungukiwa na kitu sitapungukiwa na kitu x 2

  1. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu, katika malisho ya majani mabichi hunilaza kando ya maji ya utulivu huniongoza.
     
  2. Hunihuisha nafsi yangu, na kuniongoza, katika njia za haki kwa ajili ya jina lake nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya. 

Maoni - Toa Maoni

ALEX NDINJE Sep 02, 2018
MUNGU AZIDI KUWAONGEZA UWEZO WA JUU SANA

nicolaus shabate Dec 28, 2016
hongera sana mtunzi

nicholaus shabate Dec 28, 2016
wimbo huu inatufundisha kuwa tumtegemee mungu kwa kila jambo maana yeye ndiyo anatulinda ,

Toa Maoni yako hapa