Ingia / Jisajili

Yesu Kristu Akalia

Mtunzi: Constantine A Ntanguligwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Constantine A Ntanguligwa

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Constantine Ntanguligwa

Umepakuliwa mara 964 | Umetazamwa mara 3,441

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Yesu Kristu akalia kwa sauti kuu(II&III; nakusema), Baba,( baba mikononi mwako naiweka roho yangu,unipokee baba na uwasamehe)x2

Mashairi:

1.Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha,wakadhani anamwita Eliya,aje kumuokoa.

2.Wakamnywesha sifongo pia na siki na tuone kam Eliya atamtelemsha, wamdhihaki Bwana Yesu.

3.Baba wasamehe hawa,hawana makosa, hawajui walitendalo wao baba yangu,wasamehe makosa yao.

4.Yatimia yatimia,yaliyonenwa,yale yaliyonenwa na wale manabii,wokovu upate timia.

5.Kosa gani umefanya Ee Yesu,hata kujitoa sadaka malipo ya dhambi zangu,nipe neema nitubu hima.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa