Ingia / Jisajili

Uwape Ee Bwana

Mtunzi: Hajulikani
> Tazama Nyimbo nyingine za Hajulikani

Makundi Nyimbo: Mazishi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 9,429 | Umetazamwa mara 17,679

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Uwape Ee Bwana, raha ya milele, mwanga wa milele, uwaangazie.

1.     Yatupasa kukusifu Ee Bwana na kukutolea sadaka.

2.     Ee Bwana sikiliza sala yangu kwako kila mwanadamu akimbilia.

3.     Kama Kristu alivyokufa, akafufuka, vivyo hivyo na walio lala katika Kristu Mungu atawaleta pamoja naye.

4.     Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa kadhalika na katika Kristu wote watahuishwa.

5.     Mungu aliye mfufua Yesu katika wafu, Ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa kwa njia ya Roho wake anayekaa ndani yenu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa