Ingia / Jisajili

Usikate Tamaa

Mtunzi: John Sway
> Mfahamu Zaidi John Sway
> Tazama Nyimbo nyingine za John Sway

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 692 | Umetazamwa mara 2,712

Download Nota
Maneno ya wimbo

USIKATE TAMAA

KIITIKIO

Katika taabu na mateso, Katika shida na magonjwa usikate tamaa (bali umtumaini Mungu tena umtegemee yeye kwani ndiye muweza wa yote X2.

Mashairi:

1. Mkumbukeni mtumishi wa Mungu mtumishi wa Mungu Ayubu aliteseka na kujaribiwa sana lakini hakukata tamaa bali alimtegemea Mungu.

2. Mkumbukeni na Bwana wetu Yesu Bwana wetu Yesu Kristu aliteseka na kujaribiwa sana lakini hakukata tamaa bali alimtegemea Mungu

3. Tunapopatwa na shida na magonjwa majaribu mengi ya kutisha tusiogope tumtumaini Mungu pasipo kukata tamaa, Mungu hashindwi na jambo lolote


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa