Ingia / Jisajili

Tutapata Nini Basi?

Mtunzi: F. Sheriela
> Mfahamu Zaidi F. Sheriela
> Tazama Nyimbo nyingine za F. Sheriela

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 488 | Umetazamwa mara 1,989

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

TUTAPATA NINI BASI?  [F. Sheriela]

//Tumeacha yote sisi, tumekufwata wewe ee Bwana, 

[tutapata nini basi?, tutapata nini basi?]x2 //

1. Mtitume wa Yesu waliposikia, madai magumu ya Ufalme wa Mu-ngu, walipata shaka wakamwuliza Yesu, "Tutapata nini sisi basi?"

2. Yesu akajibu akasema, "Hakika, nitakapoketi kwenye kiti cha e-nzi, mtakalia viti kumi na viwili, kuwahukumu wana wa Israeli."

3. "Na kila mtu aliye acha nyu-mba, au wazazi au ndugu au ma-li,atapokea mara mia duniani, na kuurithi uzima wa milele."

Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Dalmatius dominick Oct 21, 2020
Kwakweli wimbo mzuri sana sana sana yaani kwanza umetulia lakin hata mudhuhi take tamu sana ubarikiwe mtumish

Toa Maoni yako hapa