Ingia / Jisajili

Tazama Mungu Ndiye Anayenisaidia

Mtunzi: Fausto C. Kazi
> Mfahamu Zaidi Fausto C. Kazi
> Tazama Nyimbo nyingine za Fausto C. Kazi

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,585 | Umetazamwa mara 4,550

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Tazama Mungu ndiye anaye nisaidia, Bwana ndiye anayenitegemeza, anayenitegemeza nafsi yangu x 2.

Mashairi:

1. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu, nitalishukuru jina lako maana ni jema.

2. Ee Mungu kwa jina lako jina lako uniokoe, na kwa uweza wako unifanyie hukumu.

3. Ee Mungu uyasikie maombi yangu, uyasikilize maneno ya kinywa changu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa