Ingia / Jisajili

Tazama Mungu Ndiye Anayenisaidia.

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 5,674 | Umetazamwa mara 11,965

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Tazama Mungu ndiye anayenisaidia, Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu

Mashairi:

1. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu Ee Bwana nitalishukuru jina lako maana ni jema

2.Ee Mungu uyasikie maombi yangu, uyasikilize maneno ya kinywa changu

3.Ee Mungu kwa jina lako uniokoe na kwa uweza wako unifanyie hukumu.

4.Kwa maana wageni wamenishambulia watu watishao wananitafuta nafsi yangu, hawakumweka Mungu mbele yao.

5.Atawarudishia adui zangu ubaya wao, uwaangamize kwa uaminifu wako


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa