Ingia / Jisajili

Siku Ya Taabu

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 330 | Umetazamwa mara 1,853

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Siku ya taabu yangu nalimtafuta Bwana nalimtafuta Bwana, nalimtafuta Bwana x 2. Mkono wangu ulinyooshwa usiku, nao haukulegea nayo nafsi yangu ilikataa kufarijika x 2.

Mashairi:

1. Nilopotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika, nilipotaka kutafakari roho yangu roho yangu ilizimia.

2. Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike, naliona mashaka mashaka mashaka nisiweze kunena.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa