Ingia / Jisajili

Shuka Bwana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 868 | Umetazamwa mara 5,873

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Shuka Bwana shuka, shuka kwetu; shuka bwana, shuka kwetu katika maumbo haya ya mkate na divai, katika maumbo haya ya mkate na divai.

Mashairi:

1. Shuka kwetu tule mwili na damu yako, tushibishwe nafsi zetu tushibishwe roho zetu, tushibishwe kwa asali itokayo itokayo mwambani, tushibishwe kwa asali itokayo itokayo mwambani.

2. Shuka kwetu utushibishe mwili na yako azizi katika maumbo haya ya mkate na divai.

3.Shuka kwetu ukae nasi, tupate kuonja upendo wako katika maumbo ya mkate na divai, tukae ndani yako nawe ndani yetu, tukae ndani yako nawe ndani yetu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa