Ingia / Jisajili

Sala Yangu Ipae Mbele Yako - No. 02

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Misa

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 4,102 | Umetazamwa mara 11,866

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Sala yangu na ipae (mbele zako) kama moshi wa ubani na kuinuliwa kwa mikono yangu iwe kama sadaka ya jioni

Mashairi:

1. Tunakusihi Ee Bwanauipokee sala yetu, ipae mbele yako kama moshi wa ubani iwe kama sadaka ya mtumishi wako Abeli.

2.Matoleo yetu kazi za mikono yetu tunayaleta mbele yako Bwana, kwa unyenyekevu mkubwa twakusihi Ee Bwana uyatakase Ee Bwana twakuomba

3.Vipaji hivi tunavyokutolea vikupendeze Ee Bwana Mungu, vipae mbele yako kama moshi wa ubani, viwe kama sadaka ya jioni


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa