Ingia / Jisajili

Njoni Tumwimbie Mwenyezi Mungu

Mtunzi: Alcado Z . Mtanduzi
> Tazama Nyimbo nyingine za Alcado Z . Mtanduzi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 802 | Umetazamwa mara 2,971

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Njoni tumwimbie Mwenyezi Mungu tumshangilie mwamba wa wokovu wetu tuingie kwake nyimbo na nyimbo za shukrani tumshangilie kwa nyimbo za sifa x 2. Maana mwenyezi Mungu ni Mungu mkuu, mfalme mkuu juu ya miungu yote.

Mashairi:

1. Dunia imo mikononi mwake mabonde na vilele vya milima

2. Bahari ni yake ndiye aliye ifanya, nchi kavu kadhalika yeye aliiumba.

3. Njoni tusujudu tumwabudu tumpigie, magoti mwenyezi Mungu mtu muumba wetu

4. Maana yeye ni Mungu wetu, yeye ndiye anayetulinda, na sisi ni kondoo wake aliyetuumba.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa