Ingia / Jisajili

Njoni Tuabudu

Mtunzi: Patrick Konkothewa
> Mfahamu Zaidi Patrick Konkothewa
> Tazama Nyimbo nyingine za Patrick Konkothewa

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,500 | Umetazamwa mara 4,388

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 5 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Njoni tuabudu, Njoni tusujudu, tupige magoti mbele za Bwana Mungu aliye tuumba x 2.

Mashairi:

1. Kwa maana ndiye Mungu wetu / na sisi tu watu wa malisho yake na kondoo za mkono wake.

2. Njoni tumwimbie Bwana Mungu / tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu wa wokovu wetu.

3. Tuje mbele zake kwa shukrani / tuje mbele zake kwa shukrani tumfanyie shangwe shangwe kwa zaburi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa