Ingia / Jisajili

Njoni Kwangu Msumbukao No. 3

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,287 | Umetazamwa mara 4,619

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Njoni Kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelewa na mizigo nami nitawapumzisha.

Jitieni nira yangu mjifunze toka kwangu, kwakuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.

Mashairi:

1. Nimekabidhiwa vyote na baba yangu wala hakuna amjuaye mwana ila baba, wala hakuna amjuaye baba ila mwana na yeyote ambaye baba apenda kumfunulia.

2.Nakushukuru baba bwana wa mbingu na nchi kwakuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na ukawafunulia watoto wachanga.


Maoni - Toa Maoni

James Phabiano Jun 29, 2016
Kwajula utunzi wake mzuri basi aongeze nnyoinginekenye huu ukulasa

Toa Maoni yako hapa