Ingia / Jisajili

Nitayainua Macho Yangu

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,385 | Umetazamwa mara 9,356

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo


Kiitikio:

Nitayainua macho yangu niitazame milima, msaada wangu utatoka wapi? Msaada wangu u katika bwana aliyezifanya mbingu na nchi.

Mashairi;

1. Asiuache mguu wako usogezwe yeye akulindaye asisinzie, Naam, hatasinzia wala hatalala.

2. Bwana ndiye mlinzi wako, Bwana ni uvuli wako, husimama mkono wako wa kuume.

3. Bwana atakulinda na mabaya yote, atakulinda nafsi yako utokapo na uingiapo.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa