Ingia / Jisajili

Nitamhimidi Bwana

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 725 | Umetazamwa mara 3,242

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Nitamhimidi Bwana kila wakati, sifa zake zi kinywani mwangu daima x 2.

Mashairi:

1. Nalimtafuta Bwana, akanijibu, akaniponya na hofu zangu zote.

2. Masikini aliita, akasikia, akamwokoa na tabu zake zote.

3. Njoni enyi wana wangu, mnisikilize, nami nitawafundisha kumcha Bwana.

4. Nafsi zetu zamngoja, zamngoja Bwana, yeye ni msaada na ngao yetu.

5. Huponya nafsi zao, na mauti, na huwahuisha wakati wa njaa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa