Ingia / Jisajili

Nitakushukuru Bwana

Mtunzi: Robert Muriuki

Makundi Nyimbo: Shukrani

Umepakiwa na: Robert Muriuki

Umepakuliwa mara 526 | Umetazamwa mara 2,038

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

2. Umenilisha na umeninywesha

   Wema wa mbinguni nimeupata,

   Nashukuru Bwana u ndani yangu

3.Ukarimu wako na huruma yako,

 Msamaha pia na upole wako,

Umenitendea wema wa ajabu.

4. Ndani yangu kweli Mwokozi yumo,

  Hakika kwa mwili na damu yake,

 Ni rafiki yangu sitamwacha kamwe.

5. Wema na fadhili itanifuata,

  Siku zangu zote za maisha yangu,

  Nami n'takaa ndani mwako daima.

6. Nitalieleza jina lako Bwana,

  Nilitangaze kwa mataifa yote,

 Wakuinue na wakushukuru.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa