Ingia / Jisajili

Nitafurahi Sana Katika Bwana

Mtunzi: Frt. John W. Nsenye Sds
> Mfahamu Zaidi Frt. John W. Nsenye Sds
> Tazama Nyimbo nyingine za Frt. John W. Nsenye Sds

Makundi Nyimbo: Mama Maria

Umepakiwa na: Frt.John Nsenye

Umepakuliwa mara 1,079 | Umetazamwa mara 3,301

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

NITAFURAHI SANA KATIKA BWANA

Nitafurahi sana katika Bwana, kwamaana amenivika mimi mavazi ya wokovu

amenifunika vazi  la-haki kama -bibi Arusi ajipambovya kwa vyombo vya Dha  ha       bu. x2.

1. Nita - fu ra hisana ka tika Bwana, nafsi yangu itashangilia, ka - tikaBwanaMungu  wa - ngu Mungu  wangu.
2. Nita - imba kwa shangwe na kwa furaha, ni kimsifu na kumtukuza, kwamaana amenibari-ki Mungu wangu.
3. Ona  - ninavyong'a a na  kupendeza, yanipasa nakukushukuru, nitaimba nakukutuku - za Mi - lele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa