Ingia / Jisajili

Nitaenenda Mbele Za Bwana

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 1,790 | Umetazamwa mara 5,295

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Nitaenenda Mbele ya Bwana, mbele ya Bwana x 2. Katika nchi ya walio hai, katika nchi ya walio hai, nchi ya walio hai x 2.

Mashairi:

1. Naliamini kwa maana nitasema, mimi naliteswa naliteswa sana.

2. Ina thamani machoni pa Bwana, Mauti ya wacha Mungu wake.

3. Ee Bwana hakika mimi ni mtum ishi wako, mtumishi wako mwana wa mjakazi wako.

4. Umevifungua vifungo vifungo vyangu, nitakutolea dhabihu ya kushukuru.

5. Nitaziondoa nadhiri zangu kwa Bwana, na mbele ya watu wake wote.

6. Katika nyua za nyumba za Bwana,  Ndani yako Ee Yerusalemu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa