Ingia / Jisajili

Nimekukimbilia Bwana

Mtunzi: Paschal Florian Mwarabu
> Tazama Nyimbo nyingine za Paschal Florian Mwarabu

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Emmanuel Mwita

Umepakuliwa mara 4,981 | Umetazamwa mara 9,362

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

       NIMEKUKIMBILIA BWANA

Nimekukimbilia Bwana, nisiaibike milele x2

Kwa haki yako uniponye; Tega sikio niokoe, 

Uwe mwamba wa nguvu kwangu.

1. Uwe mwamba wa makazi yangu, niendako siku zote;

    Uniokoe katika wavu, waliotega kwa siri.

2. Adui zangu washauriana, wasema umeniacha;

     Mfuateni mkamateni, hakuna wa kumponya.

3. Usiwe mbali Ewe Mungu wangu, haraka nisaidie;

    Waaibishe wanichukiao, adui wa nafsi yangu.

   


Maoni - Toa Maoni

Wepukhulu Benard Feb 20, 2024
0771858875

Serafini tarimo Jan 26, 2020
Nakukubali Sana mzee huyu Hongera kwa utunzi ulio tukuka

Toa Maoni yako hapa