Ingia / Jisajili

Ndiwe Kuhani Hata Milele

Mtunzi: David Ihiwi
> Tazama Nyimbo nyingine za David Ihiwi

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: polycarp kindole

Umepakuliwa mara 3,056 | Umetazamwa mara 6,616

Download Nota
Maneno ya wimbo

Ndiwe kuhani hata milele, ndiwe kuhani hata milele, hata milele, kwa mfano wa Melkizedeki.

1. Neno la Bwana kwa Bwana wangu, uketi mkono wako wa kuume, hataniwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako.

2. Bwana atainyosha fimbo, atainyosha toka Sayuni, fimbo ya nguvu zako uwe na enzi kati ya adui zako.

3. Bwa kaapa hata ghairi, ameapa wala tena hataghairi, ndiwe kuhani milele kwa mfano wa  Melkizedi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa