Ingia / Jisajili

Ndipo Niliposema

Mtunzi: Ansert Mchefya
> Tazama Nyimbo nyingine za Ansert Mchefya

Makundi Nyimbo: Miito | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,072 | Umetazamwa mara 5,337

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

(Ndipo niliposema tazama Bwana nimekuja) x 2, (tazama nimekuja kuyafanya mapenzi) x 2

1. (a) Nalimngoja Bwanao, Bwana kwa saburi, akaniinamia akasikia kilio changu.

     (b) Akatia wimbo mpya kinywani mwangu ndio sifa zake, ndio sifa zake Mungu wetu.

2. (a) Dhabihu na matoleo, huku pendezwa nazo, masikio yangu umeyazibua.

     (b) Kafara na sadaka, za dhambi hukuzitaka, ndipo niliposema tazama nimekuja.

3. (a) Katika gombo la chuo, nimeandikiwa kuyafanya mapenzi yako.

      (b) Ee Mungu Mungu wangu, ndiyo furaha yangu, naamsheria yako imo moyoni mwangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa