Ingia / Jisajili

Natamani Mwili Usioharibika

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Mazishi

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 546 | Umetazamwa mara 2,615

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

    KIITIKIO
Natamani, natamani, kuvaa kutoharibika x 2
Natamani mwili wa utukufu, usiojitenga nawe Kristu Bwana x 2

1. Siku hile nitakapokuja mbinguni, natamani mwili wa kutoharibika.

2. Mwili usiojitenga nawe Kristu, natamani.....................................

3. Mwili usiopatwa nayo magonjwa, natamani.................................

4. Mwili usiokuwa nayo tamaa, natamani..................................


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa