Ingia / Jisajili

Nami Nitakaa Nyumbani Mwa Bwana

Mtunzi: Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)
> Mfahamu Zaidi Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)
> Tazama Nyimbo nyingine za Wilhelm A. Kiwango (W. Kiwango)

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Willy Kiwango

Umepakuliwa mara 1,137 | Umetazamwa mara 3,620

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 28 Mwaka A

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Nami nitakaa Nyumbani mwa Bwana milele x2

Viimbilizi:

1.Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu, katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

2.Huniongoza katika njia, katika njia za haki, kwa ajili ya jina lako jina lako, nijapopita kati ya bonde la uvuli  wa mauti sitaogopa, sitaogopa mabaya

3.Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu, umenipaka amfuta kichwani pangu na kikombe changu  kikombe changu kinafurika.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa