Ingia / Jisajili

Nalisema Nitayakiri

Mtunzi: B. Mapalala
> Tazama Nyimbo nyingine za B. Mapalala

Makundi Nyimbo: Kwaresma

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 30,651 | Umetazamwa mara 39,267

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana nawe Bwana ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu. x 2

  1. Heri aliye samehewa dhambi nakusitiriwa makosa heri bwana asiye muhesabia upotovu  ambaye rohoni mwake hamna hila.
     
  2. Ndiwe sitara yangu utanihifadhi na mateso utanizungusha, nyimbo za wokovu.
     
  3. Nalikujulisha dhambi yangu wala sikuficha upotovu wangu.
Nyimbo nyingine za mtunzi huyu

Maoni - Toa Maoni

Patience Mtagwa Sep 19, 2022
Napenda nyimbo zako, ila nakuomba sana unitumie wimbo (NAMI NIMEZITUMAINIA FADHIRI ZAKO.)kwenye iyo namba ikiwezekana tuuimbe jpili ii naipenda sana unagusa moyo wangu

John Jun 19, 2019
wimbo mzuri sana.hongera sana Mr Mapal

Benah Mbala Sep 17, 2018
Hongera mwalimu, wimbo mzuri sana

joshua ndiema Aug 01, 2017
Wimbo nzuri sana bwana mapalala,heko pia kwa nyimbo zingine za mimina neema,nyimbo hii iko pahali pake

VICENT ALPHONCE Jul 09, 2017
binafisi huu unafundisha pia unatuhimiza tutubu dhambi zetu pia tuwe tuwe karibu na mungu wetu hongera mwalim mapalala mungu akusimamie amina

Denis James Kamwamu Mar 10, 2017
Wimbo mzuri sana. Mtunzi, kazi nzuri sana wimbo ulivyotungea na maneno yaliyotumika vimeendana sana na unasaidia kutafakari matendo yetu mbele za Muumba Wetu.

Kamwamu Mar 10, 2017
Wimbo mzuri sana. Mtunzi, kazi nzuri sana wimbo ulivyotungea na maneno yaliyotumika vimeendana sana na unasaidia kutafakari matendo yetu mbele za Muumba Wetu.

Flora Ngarondola Mar 06, 2017
Ni wimbo wenye kumwandaa mwanadamu katika tendo la unyenyekevu wakati wote wa maombi na ibada naupenda sana huu wimbo mtunzi barikiwa sana

Patrick Kimu Feb 06, 2017
Huu wimbo huwa unanifariji sana. Mungu na ambariki mtunzi ! Amina !

Joseph mhaya nyarobi Oct 27, 2016
Naupenda sana wimbo huu, unaniweka katika tafakari nzito. Hongera mwalimu mapalala

Toa Maoni yako hapa