Ingia / Jisajili

Mungu Wangu Mbona Umeniacha

Mtunzi: Frey Juma
> Mfahamu Zaidi Frey Juma

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: Alfonce Haule

Umepakuliwa mara 983 | Umetazamwa mara 3,664

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Mungu wangu Ee Mungu wangu, Ee Mungu wangu, mbona umeniacha X2.

1. Wote wanionao hunicheka sana, hunifyonya wakitikisa vichwa vyao (kwa nini),

2. Husema umtegemea Bwana na amponye, na amponye sasa maana apendezwa naye (naye),

3. Maana mbwa mwitu wamenizunguka, kusanyiko la waovu limenisonga (kwa nini).


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa