Ingia / Jisajili

Mtu Hataishi Kwa Mkate Peke Yake No. 02

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,162 | Umetazamwa mara 4,521

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Imeandikwa ya kwamba " mtu hataishi kwa mkate peke yake" [x2]

Ila kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu, ila kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu [2]

Mashairi:

1. Naye ibilisi akamjaribu Yesu akamwambia ; ukiwa ndiwe mwana wa Mungu, ukiwa ndiwe mwana wa Mungu yaamuru mawe haya yawe mikate, Yesu akajibu akasema...[kiitikio...]

2.Imeandikwa ya kwamba usimjaribu Bwana Mungu wako, tena imeandikwa msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake kwa moyo wako wote.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa