Ingia / Jisajili

Msifu Bwana Ee Yerusalemu

Mtunzi: Michael Matai
> Mfahamu Zaidi Michael Matai
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Matai

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Michael Matai

Umepakuliwa mara 577 | Umetazamwa mara 2,076

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio; Zaburi 147:12-15, 19-20

Msifu Bwana wako ee Yerusalemu, Msifu Bwana wako msifu ee Sayuni;

Maana ameyakaza mapingo ya malango yako amewabariki wanaondani wanaondani yake.

Mashairi:

1. Ndiye afanyaye amani mipakani mwako, Akushibishaye kwa unono wa ngano; Huipeleka amri yake juu ya nchi, Neno lake lapiga mbio sana.

2. Humhubiri Yakobo neno lake, Na Israeli amri zake na hukumu zake; Hakulitendea taifa lolote mambo kama hayo, Wala hukumu zake hawakuzijua.

   


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa