Ingia / Jisajili

Msifu Bwana Ee Yerusalem

Mtunzi: S. Kibong'olo

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 1,491 | Umetazamwa mara 3,566

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

MSIFU BWANA EE YERUSALEM    [S. Kibongolo]

(I&II: Msifu, umsifu Bwana) Msifu ee Yerusalemu. x2 (I&II: Umsifu Bwana Mungu wako) Msifu ee Yerusalemu. x2.

1.     (I&II) Umsifu Mungu wako(I: ee) (II: ee Sayuni) maana ameyakaza mapingo ya malango yako.

2.     Ndiye afanyaye amani (I: mi-) (II: mipakani) ndiye akushibishaye kwa unono wa ngano.

3.     Huipeleka amri yake(I:  juu) (II: juu ya nchi) Neno lake lapiga mbio, mbio sana.

4.     Humhubiria Yakobo (I: Ne-) (II: Neno lake) Israeli amri zake na hukumu za- - ke- -.


Maoni - Toa Maoni

Vincent D'assaut May 21, 2018
Asanteni sana.Tunatumia nyimbo hizi kwa kufikiria ndani ya misa.Lakini ''midi'' haziimbe tena Keene audio kama hapo mbeleni.Mimi ni mwalimu wa nyimbo hapa DRCongo/Goma ndani ya choir Mt Yoane Paulo wa 2.

Toa Maoni yako hapa