Ingia / Jisajili

Mawaidha Kwa Vijana

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,090 | Umetazamwa mara 5,917

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Mtumaini Mungu wako kwa moyo wako wote, wala usitegemee akili zako mwenyewe, mtangulize Mungu wako katika kila jambo naye atazinyoosha njia zako zote.

Mashairi:

1. Mche Mungu wako, mche kila wakati, usijione mwenye hekima kuliko Mungu wako.

2. Mche Mungu wako ujiepushe na dhambi, usipomcha Mwenyezi Mungu utaangukia dhambini.

3. Kumcha Mwenyezi Mungu ndiyo chanzo cha hekima, kumcha Mungu, kumcha Mungu chanzo cha maarifa.

4.Anayemtumaini Mwenyezi Mungu, hatatikisika kama mlima Sayuni.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa