Ingia / Jisajili

Mama Pale Msalabani

Mtunzi: Bategereza
> Tazama Nyimbo nyingine za Bategereza

Makundi Nyimbo: Juma Kuu | Kwaresma

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 4,897 | Umetazamwa mara 9,473

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1. Mama pale msalabani macho yatoka machozi (akimwona Mwanae) x2.

2. Kweli vile akilia, Uchungu kama upanga (Ukampenya moyowe) x2.

3.Mwenye Moyo mgumu nani asimhurumie basi, ( Mama mlilia mwana)

4. Ewe Mama Mtakatifu usulibiwe na Yesu (Moyo wangu mi mwenye dhambi) x2.

5. Naye mwokozi niteswe na madonda nigawie (Pamoja na Mkombozi) x2.

6. Nisimame msalabani, Niwe nami wako mwenzi (Wa Uchungu na msiba) x2.

7. Nisianguke motoni, Uniwie msimamizi (Ewe mwokozi wangu) x2.

8. Msikilize Mamabyako, Niponye siku ya mwisho (Ewe mwokozi wangu) 2.


Maoni - Toa Maoni

ycs ilboru Jan 28, 2022
hongera sana tumebarikiwa

James francis Mar 01, 2018
Wimbo ni mzuri sana nimeguswa na mengi nanimejifunza mambo mengi kupitia wimbo endelea kufanya kazi ya uchungaji aina.

Enock Madati Aug 08, 2016
Ni kazi nzuri sana pongezi zikufikie uliyebuni hiki kitu. Mungu akubariki.

Toa Maoni yako hapa