Ingia / Jisajili

Malaika Wa Bwana Huwafanya

Mtunzi: Patrick Konkothewa
> Mfahamu Zaidi Patrick Konkothewa
> Tazama Nyimbo nyingine za Patrick Konkothewa

Makundi Nyimbo: Watakatifu | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 406 | Umetazamwa mara 2,196

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Malaika wa Bwana Huwafanya kituo akiwazungukia wamchao akiwazungukia wamchao akiwazungukia wamchao na kuwaokoa x2

Mashairi:

1. Nitamhimidi Bwana kila wakati / sifa zake zi kinywani mwangu daima / katika Bwana nafsi yangu itajisifu wanyenyekevu wasikie wakafurahi.

2. Mtukuzeni Bwana pamoja nami / na tuliadhimishe jina jina lake /  pamoja nalimtafuta Bwana akanijibu akaniponya hofu zangu zote.

3. Wakamwelekea macho wakati wa nuru / wala nyuso zao hazita ona haya / masikini huyu aliita Bwana akasikia amwokoa taabu  zake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa