Ingia / Jisajili

Leo Ni Sherehe

Mtunzi: Rev. Fr. C. Kaswiza

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: Wasonga David

Umepakuliwa mara 645 | Umetazamwa mara 2,169

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

1. Kwanini leo mnaimba nyimbo nzuri namna hii? Lol! nani we hata 'sijue siku tamu nzuri namna hii? Shangilia kwanza utajua yote, ngojea mgeni mwenzangu,

\\Leo siku nzuri, leo ni sikukuu, ndiyo siku njema yafaa sana mjiunge nasi, tumtolee zetu sala na shukrani na matashi mema, tumtolee zetu sala na pole ya sikukuu//

2.Jongeeni wote mtakao kujulia hilo swali, si gumu tega sikio utajua, fumba macho yako kaa tu,leo kweli jama siku yetu nzuri jongea mgeni mwenzangu.

\\Leo siku nzuri, leo ni sikukuuu, ndiyo siku njema yafaa sana mjiunge nasi tumtolee zetu sala na shukrani na matashi mema, tumtolee zetu sala na pole ya sikukuu//


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa