Ingia / Jisajili

Kwa Jinisi Ujionavyo

Mtunzi: Jacob M. Urassa
> Tazama Nyimbo nyingine za Jacob M. Urassa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Gervas Kombo

Umepakuliwa mara 687 | Umetazamwa mara 2,989

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kwa jinsi ujionavyo nduvyo ulivyoumbwa tena kwa mfano wake Yesu  Kristu mwokozi wetu (furaha) leo (tuimbe) shangwe (tupige) ngoma filimbi na vigelegele

Tufurahi tufurahi na Bwana Yesu x2

1.       Yeye mweyewe aliona kwa jinsi hii utapendeza sasa mbona wewe wamsahau Bwana Mungu ako aisahau haya sabato siku ya kumshukuru Mungu

2.       Tusijiongezee vitu vingine ndugu vya kujipamba njoo kwake Bwana Yesu atakakupamba upendeze ili ueze kufika kwake Mungu kwenye uzima milele

3.       Ni Yesu Kristu pekee aliye na upendo zaidi katuandalia karamu kabla ya mauti yake kaibariki kila tuilapo tupate uzima milele

4.       Ulapo bila kustahili ndugu ungoje hukumu yako alisema mwenye moyo safi ajongee mezani siku ile ya hukumu nitamuita kwenye ufalme mbinguni


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa