Ingia / Jisajili

Katika Ekaristi

Mtunzi: Venant Mabula
> Tazama Nyimbo nyingine za Venant Mabula

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Edward Challe

Umepakuliwa mara 2,284 | Umetazamwa mara 6,221

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO

Katika ekaristi katika ekaristi,(namwona Yesu nampokea,japo afichika moyoni namkiri.x2)

MASHAIRI

1. Upendo mwingi na nguvu nyingi,kwa yesu wangu napata hima,niheri yangu kumpenda.

2.Furaha kubwa, amani tele pia tulizo napata kwake,Niheri yangu kumpokea.                      

3. Agano hili nilazamani,fahari yake ni ya vizazi,na neno lake la mile-le.                              

4. Twendeni wote,kwenye karamu,yenye faraja na wema mwingi,karamu ya wema wa neno wa Mungu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa