Ingia / Jisajili

Jiwe Walilokataa Waashi

Mtunzi: Constantine A Ntanguligwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Constantine A Ntanguligwa

Makundi Nyimbo: Pasaka

Umepakiwa na: Constantine Ntanguligwa

Umepakuliwa mara 1,759 | Umetazamwa mara 5,794

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiit;Jiwe jiwe hili walokataa waashi,limekua jiwe kuu la msingi x2. Jiwe walilokataa, kataa waashi,limekua jiwe, limekua jiwe kuu la pembeni  x2.

Mashairi;

1. Yesu Kristu ndiye jiwe, tena mwamba imara,jiwe kuu la msingi(II&IV;jiwe imara),  yu hai mzima Aleluya.

2.Na muendeeni yeye, jiwe lililo hai,lililokataliwa(II&IV;na wanadamu),bali kwa Mungu ni teule.

3.Ninyi nanyi kama mawe, mawe yaliyohai, mmejengwa ili muwe(II&IV;nyumba ya roho),mtoe dhabihu za roho.

4.Tazama naweka katika sayuni, jiwe kuu la pembeni(II&IV;jiwe teule),mwamini hutatahayarika.

 

Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa