Ingia / Jisajili

Ingekuwa Heri Leo

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Wasonga David

Umepakuliwa mara 7,171 | Umetazamwa mara 13,119

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo


Kiitikio:

Ingekuwa heri leo msikie sauti yake, msifanye migumu mioyo yenu mioyo yenu, msifanye migumu mioyo yenu mioyo yenu.

Mashairi:

Njoni tuabudu, njooni tuabudu, njooni tuabudu tusujudu, tupige magoti mbele za bwana aliyetuumba, tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu, tuje mbele zake kwa shukrani tumfanyie shangwe kwa zaburi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa