Ingia / Jisajili

Huyu Ndiye Mwanakondoo

Mtunzi: Patrick Konkothewa
> Mfahamu Zaidi Patrick Konkothewa
> Tazama Nyimbo nyingine za Patrick Konkothewa

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 942 | Umetazamwa mara 3,717

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Tazameni huyu ndiye mwanakondoo ndiye mwanakondoo wa Mungu aondoaye dhambi za dunia x2

Heri yao wale walioalikwa kwenye karamu kwenye karamu ya mwanakondoo x2

       1.     a) Mwili wa Bwana ni chakula cha uzima tulinde tupate uzima wa milele

               b) Damu ya Bwana ni kinywaji cha roho itulinde tupate….

       2.     a) Mkate ninaoutoa mimi ni mwili wangu itulinde tupate uzima wa milele

                b) Divai ninayoitoa ninyoitoa ni damu yangu itulinde… 

       3.     a) Usafishe moyo wako karibu kwangu ili upate uzima uzima wa milele

                b) Iliuchote neema na Baraka tele ili upate….


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa