Ingia / Jisajili

Heri Aliyemfanya

Mtunzi: John Mwalai
> Tazama Nyimbo nyingine za John Mwalai

Makundi Nyimbo: Kristu Mfalme

Umepakiwa na: Nyamasyo Maneeno

Umepakuliwa mara 1,338 | Umetazamwa mara 3,681

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Heri heri aliyemfanya Bwana kuwa tumaini lake tumaini lake x2

Wala hakuwaelekea wenye kiburi wenye kiburi wala hakuwaelekea wenye kiburi x2

1.       Heri mtu Yule asiyekwenda katika mashahuri yawasio haki

Wala mtu huyu hakusimama katika njia yao wale wakosaji

Pia hakuketi barazani mwa watu wenye mizaha tu wenye mizaha

2.       Mbali sheria ya Bwana ni njema ndiyo mpendezayo kila mwanadamu

Na sheria yake uitafakari huitafakari sana mchana na usiku

Huitafakari sheria yake huitafakari sana sheria ya Bwana

3.        Naye atakuwa ka ule mti, uliopandwa kando ya vijito vya maji

 Ndio uzaao matunda yake, kwa majira yake kwa majira yake

 Wala jani lake hali kauki, na tndo na matendo yataffanikiwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa