Ingia / Jisajili

Furahini Katika Bwana

Mtunzi: Michael Shija
> Mfahamu Zaidi Michael Shija
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Shija

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: Michael Shija

Umepakuliwa mara 1,943 | Umetazamwa mara 5,844

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Furahini katika Bwana siku zote tena nasema furahini maana Bwana yukarux2

MASHAIRI:

1a). Na upole wenu na ujulikane, ujulikane ana watu kwani Bwana yukaribu

  b).Mataifa yote na wajibariki, katika yeye na kumwita heri na kumwita heri.

2a)Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa kusali na kuomba.

  b)Haji zenu zijulikane na Mungu,  na amani ya Mungu itawahifadhi katika Bwana milele.

3a)Maana atamwokoa mhitaji, na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi,

  b)Atamhurumia aliye dhaifu, tena atawaambia watu wake watu wake amani.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa