Ingia / Jisajili

Furahi Yerusalemu No. 02

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Majilio

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 3,256 | Umetazamwa mara 7,289

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Furahi, furahi, furahi Yerusalemu (x 2). Mshangilieni ninyi nyote, mshangilieni ninyi nyote, mshangilieni ninyi nyote mmependao, mshangilieni ninyi nyote mmependao.

Mashairi:

1. Furahini ninyi nyote mliao kwaajili yake, furahini ninyi nyote mliao kwaajili yake, kunyonya na kushibishwa maziwa ya faraja zake.

2. Kwamaana mtabebwa, na juu ya magoti yake mtabembelezwa.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa