Ingia / Jisajili

Furahi Yerusalemu

Mtunzi: Br. Stan Mkombo, Ofmcap
> Tazama Nyimbo nyingine za Br. Stan Mkombo, Ofmcap

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 754 | Umetazamwa mara 3,062

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

FURAHI YERUSALEMU                                    [Br. Stanslaus Mkombo, OFMCap.]

I: Furahi furahi furahi furahi Yerusalemu; Furahi furahi Yerusalemu.X2

                                    II-IV: Furahi furahi furahi furahi Yerusalemu.X2

I &III: Mshangilie-ni, ni-nyi nyo-te, ninyi nyote mumpe-ndao.x2

II: Mshangilieni shangilieni, ninyi nyote mumpe-ndao.X2

IV:Mshangilieni shangilieni shangilieni ninyi nyote mumpendao.x2

Mashairi:

1. Furahini pamoja naye, shangilieni kwa’jili yake, ninyi nyote mumpendao, mliao kwa ajili yake.

2. Mpate kunyonya, kushibisha, kwa maziwa ya faraja yake; mpate kukama, kufurahiwa, kwa wingi wa utukufu wake.

3. Maana Bwana Mungu asema, “Nitamwelekezea amani, na utukufu wa mataifa, kama kijito kifurikacho.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa