Ingia / Jisajili

Fumbueni Vinywa Vyenu

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 14,112 | Umetazamwa mara 18,599

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Fumbueni vinywa vyenu, mkapaze sauti zenu, mkasifu mkishangilia, ukuu wa Bwana Mungu wetu, mkirukaruka huku mkiimba sifa za Bwana Mungu wetu. Pazeni sauti mkiimba fanyeni shangwe kwa saburi ngoma hata na matari.

Mashairi:

1.Tukuzeni sifa zake, tukuzeni sifa zake, imbeni imbeni zaburi imbeni imbeni zaburi, pigeni kelele za shangwe kwa furaha, msifuni Mungu wenu kwa kinanda na kinubi

2.Kwa maana kusifu kwapendeza kusifu kwapendeza, basi njooni wote tumsifu Mungu wetu.


Maoni - Toa Maoni

Delewords Apr 20, 2022
Kwa hakika mungu azidi kukubariki na kukuza talanta yako, wimbo huu unibariki mno

Godfrey malisa Aug 12, 2018
Binafsi nakupongeza Wasonga kwani utunzi wa wimbo huo ni mzuri sana tena sana Mungu sana..

Boniventure John Feb 15, 2017
mzuri sana unamtukuza Mungu wetu

Charles Theophil Mbehors Nov 12, 2016
Pongeza,.nakupongeza sana bro kwa wimbo wako, unpendeza dana unavyolia notattion zake, hongera sana. ila nimefanya uchunguzi wangu na kuona kwa sehemu kubwa nyimbo nyingi nzuri huwa zinakuwa ni fupi sijui ni kwa nini!

Toa Maoni yako hapa