Ingia / Jisajili

Familia Ni Nini?

Mtunzi: Michael Shija
> Mfahamu Zaidi Michael Shija
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Shija

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Mwaka wa Familia (2014)

Umepakiwa na: Michael Shija

Umepakuliwa mara 1,179 | Umetazamwa mara 7,794

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Famili ni nini, famila ni baba na mama na watoto wao, pia na jamaa wanaoishi nao,

Hilo ndilo kanisa la nyumbani pia ndilo chimbuko la imani ndilo msingi wa kanisa letux2

MASHAIRI:

1. Baba ndiye kiongozi wa familia, akisaidiwa na mama wa familia, wakisimamia familia kusali pamoja.

2.Kanisa la nyumbani ni familia bora, yenyekuishi kwa upendo na kwa amani, daima humpenda Mungu na majirani pia.

3. Kwenyefamilia ndipo imani yetu, inapoanzia kujengwa kwa watoto, hapo ndipo twapata mapadri, masista na walei bora.


Maoni - Toa Maoni

Ditrick Hilary Apr 17, 2017
Sijaelewa nini maana ya familia

Toa Maoni yako hapa