Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uturudishe

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Majilio | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,475 | Umetazamwa mara 5,426

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Mungu uturudishe ee Mungu uturudishe, Ee Mungu uangazishe uso wako nasi tutaokoka x 2:

Mashairi:

1. Wewe uchungaye Israeli usikie, wewe uketiye juu ya makerubi utoe nuru.

2. Uziamshe nguvu zako ee Bwana, usiamshe nguvu zako uje utuokoe.

3. Ee Mungu wa majeshi tunakusihi urudi, utazame toka juu uone mzabibu huu.

4. Na mche ule uliopanda kwa mkono wako wa kuume, na tawi lile ulilofanya kuwa imara kwa nafsi yako.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa