Ingia / Jisajili

Ee Mungu Unisikilize Na Kunijibu

Mtunzi: John Mlewa
> Mfahamu Zaidi John Mlewa
> Tazama Nyimbo nyingine za John Mlewa

Makundi Nyimbo: Zaburi | Mafundisho / Tafakari

Umepakiwa na: John Mlewa

Umepakuliwa mara 341 | Umetazamwa mara 1,778

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

EE MUNGU UNISIKILIZE NA KUNIJIBU

(Zab. 55: 1-5)

(Kwa tafakari zaidi).

By John Mlewa
St. Monica Choir
_Sinza Parish
30.10.2015

Tel. +255 717 317 630.

Kiitikio:

Ee Mungu uisikilize sala yangu, wala usijifiche nikuombapo rehema x2

Unisikilize na kunijibu, nimetangatanga nikilalama nakuugua x2

Mashairi:

1. Kwa sababu ya sauti ya adui, kwa sababu ya dhuluma yake yule mwovu.

2. Kwa maana wamenitupia uovu, na kwa ghadhabu wameniudhi.

3 Moyo wangu unaumia ndani yangu, na hofu za mauti zimeniangukia.

4. Hofu na tetemeko limenijia, na hofu kubwa imenifunikiza


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa