Ingia / Jisajili

Ee Mungu Uniokoe

Mtunzi: Michael Matai
> Mfahamu Zaidi Michael Matai
> Tazama Nyimbo nyingine za Michael Matai

Makundi Nyimbo: Mwanzo | Zaburi

Umepakiwa na: Michael Matai

Umepakuliwa mara 2,472 | Umetazamwa mara 6,096

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 18 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo

Ee Mungu uniokoe Bwana unisaidie hima x 2 // Ndiwe msaada wangu mimi na mwokozi wangu ( Bwana) x2 // Ee Bwana usikawie, Ee Bwana usikawie x2

1. Wanao nuia kuniangamiza, Nawafedheheshwe na kuaibishwa.

2. Lakini wote wakutafutao, Na washangilie na kukufurahia,

3. (Tenor) Wale wapendao wokovu wako, Daima waseme Mungu na atukuzwe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa