Ingia / Jisajili

Ee Bwana Uwe Pamoja Nami

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Mafundisho / Tafakari | Zaburi | Juma Kuu

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 2,119 | Umetazamwa mara 4,674

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana uwe pamoja nami katika taabu zangu x 2:

Mashairi:

1. Aketiye mahali pa siri pake aliye juu, Atakaa katika uvuli wake mwenyezi.

2. Nitasema Bwana ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangunitakaye mtumaini.

3. Mabaya hayata kupata wewe, Wala tauni haita ikaribia hema yako.

4. Kwa kuwa atakuagizia malaika zake, Wakulinde katika njia zako zote.

5. Mikononi mwao watakuchukua, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa