Ingia / Jisajili

Ee Bwana Usiniache

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 1,176 | Umetazamwa mara 3,323

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ee Bwana usiniache, usijitenge nami, fanya haraka kunisaidia x2.

Mashahiri:

1. Kwakuwa nakungoja wewe Bwana, wewe utajibu, Ee Bwana Mungu wangu.

2. Kwa maana nitaungama uovu wangu, nakusikitika kwa dhambi zangu.

3. Maana dhambi zangu zimenifunika kichwa, kama mzigo mzito zimenielemea mno.


Maoni - Toa Maoni

samson Oct 27, 2016
leo wimbo huu nimeutumia kufundishi umeimbika vizuri sana umtunzi mungu amzidishie.

Toa Maoni yako hapa